non stop – huyo mimi lyrics
nonstop
vers 1
ni mimi mmoja mlie mtenga
mimi yule yule mmoja mmoja msie mpenda
ni mimi huyo mmoja mlie mshika
kwenye raha na furaha ila kwenye shida mkani pisha
mimi yule yule mmoja mtenda wema
kwa makosa ya zaman mkanichukia tena
mkanishushia wema kwa ubaya mkanisema
mkasahau mi wa kwenu paka mate mkanitema
hiv nilikosea nini?
maana kwenye kila baya mkosaji mimi
leo staki kuamin
maana ata majina yangu yote ya kwenu ninyi
niwalipe kisha nitubu?
nitende ubaya nivunje paka undugu?
niwak+mbushe mi kunguru sifugiki
na mkileta za kuleta tena niwatie uchungu
simba jordan
chorus
ni huyo mimi + 4
nonstop vers 2
ni huyo mimi mkaninyima paka elimu
mkaninyima chakula mkidai siwaheshimu
huyo mungu kajalia niwe mkubwa
pengne niwaokoe au pengne niwauk+m
ni huyo mimi mi mna ni k+mbuka ?
mliopigia kelele za furaha nlipo anguka
shangwe na vinubi vya mapito
mkicheka na kuteta kwa hili anguko
hivi niliwakosea nini?
maana kwenye kila baya mkosaji mimi?
wakwenu siamini
maana ata majina yangu ya kwenu ninyi
nawakak+mbuka mlio sema ntapotea
na ukubwa jalalala yote na pokea
mungu amenipa mama mwingne wa kunishika
wachache ndugu zangu na kaka wa kunizika
ni mimi huyo
Random Lyrics
- 倖田來未 (kumi koda) – introduction for trick lyrics
- turf talk – good game lyrics
- themainattraction – man listen lyrics
- millionaire thought$ – letter 2 my city lyrics
- santaworldview – the silence of the lambs lyrics
- choji oficial – velocidade lyrics
- daevid allen & russell hibbs – bellyful of telephone lyrics
- king zams – joy lyrics
- sunny khan durrani – haasil lyrics
- raphael (spanish singer) – cuando no estabas tú lyrics