otile brown – acha waseme lyrics
kama riziki unatoa, basi ntakosa
ila kama ni mola lazima ntapata×2
bwana shetani muongo , muongo we!
mbona umejawa na kinyongo ndugu we!×2
bwana niambie x3 wapi nilipokuudhi naomba uniambie
mana sio sawa kama we wanichukia , nia njema nlio nayo kwako ndo mafanikio yangu , wakati mimi nakuombea mema , waniwazia mbaya ooh sio sawa
ooh so sawa
ooh dhamira yangu ndo nguzo yangu ×2
acha waseme , acha waonge ×2
wewe unanichukuia ata zaidi unavojipenda
unafikiri nafikiri unavyofikiria mana nia zako sio njema
chochote nachofanya unanielewa makosa
lolote nachofanya unanihuk+mu vibaya
wapi nilipokukosea ningependa unieleze
wapi nilipokuudhi ningependa uniambie
maana sio sawa kama wewe wanichukia , nia ooh njema nlio nayo kwako ndio mafanikio yangu
wakati mimi nakuombea meme , waniwazia mabaya ooh so sawa
ooh dhamira yangu , ndo nguzo yangu
ooh wema w+ngu ndo nguzo yangu ×2
acha waseme , acha waongee×4
Random Lyrics
- sirlkm – sample text lyrics
- queenzzielocthevoice – self-esteem song i wrote lyrics
- audrey sherman – bleeding lyrics
- ніщо – *ностальгія* lyrics
- los donnys de guerrero – quiero que vuelvas lyrics
- wire – who has nine? lyrics
- johnny quenno – ptsd lyrics
- jeilani – all for you lyrics
- steve chou (周傳雄 ) – 寂寞沙洲冷 (cold lonely sandbank) lyrics
- 3ree-six – millionaire lyrics