otile brown – kosea lyrics
mmh hujawai kukosea, sijawahi kuwa sawa
ooh beiby, unaninyanyasa sana
hujawai kukosea, sijawahi kuwa sawa
ooh beiby, unanitesa sana (ooh oh oh)
sometimes nafanya zile vitu sipendi
ili nikuridhie
ila ndo bado nanong’ona, yeah yeah
natamani ardhi ipasuke, inimeze
maana mwenzio nimechoka
mwenyezi mungu niwezeshe
bora iliponifika inisepe
kama umenichoka unieleze beiby
mwenyezi mungu niwezeshe
bora iliponifika inisepe
kama umenichoka unieleze beiby
hujawai kukosea, sijawahi kuwa sawa
ooh bеiby, unaninyanyasa sana
hujawai kukosea, sijawahi kuwa sawa
ooh beiby, unanitesa sana
(vicky pon dis)
elеwa sishindani nawe
sibishani na wewe, mama utakalo na liwe
elewa sishindani nawe
sibishani na wewe, mama utakalo na liwe
beiby niende kushoto uende kulia, kama hatutakani
nimekuvumilia, ila ni kama hatuendani
kila siku vitimbi, utadhani vioja mahakamani
hapa ilipotimia kwa hili penzi nishapoteza imani
hujawai kukosea, sijawahi kuwa sawa
ooh beiby, unaninyanyasa sana
hujawai kukosea, sijawahi kuwa sawa
ooh beiby, unanitesa sana
hujawai kukosea, sijawahi kuwa sawa
ooh beiby, unaninyanyasa sana
hujawai kukosea, sijawahi kuwa sawa
ooh beiby, unanitesa sana
Random Lyrics
- gaming all star rap battles – luigi vs tails lyrics
- besväret – jag ser lyrics
- pat clifton – when the party’s over lyrics
- purple hase – back, back lyrics
- zanzu – bellissimi lyrics
- nkalafeng – give me a minute lyrics
- audrey sherman – why can’t someone lyrics
- charles milles manson – people say i’m no good lyrics
- mlindo the vocalist – jumaima lyrics
- prison affair – out of jail lyrics