prof. jay – nang’atuka lyrics
Loading...
yeah
napiga goti natubu
kwa mungu w+ngu na jamii
nimefanya mambo mengi
kwa kutumia cheo
naamini cheo dhamana
nisamehe nisamehe
nang’atuka nimeshaikosea jamii nikajiita mungu mtu nikajiita nabii
mwenyeenzi k+mbuka na nafsi hii
napiga goti natubu daima nitakusihi
nang’atuka nimeshaikosea jamii
nikajiita mungu mtu nikajiita nabii
muda sasa umewadia ndugu zangu watanzania
mambo niliyoyafanya hayapaswi kusimuliwa
tangu nilipoomba kura kwenye ndio mzee
mkanipa na kusababsha uchumi ulegee
kura zikawa kula nikaishi kwa mlungula taratubu nikaanza kubadili mfumo na sura
nasisitiza sana masuala ya ajira
k+mbe uongo nikaanza kugawa vyeo kwa hila
hata mashori w+ngu niliweka mataahira na kusababsha uongozi w+ngu upoteze dira
Random Lyrics
- yomo – sacudelo que tiene arena lyrics
- the knick’d rakes – ooh do i love you lyrics
- june henry – ladybug interlude lyrics
- dwezz – назад пути нет (there is no turning back) lyrics
- sevenr – untold stories lyrics
- duo manja – kangen kamu lyrics
- witch on film – pink cathedral lyrics
- timerik, _seva_ – false lyrics
- drew taylor (country) – almost knowing you lyrics
- flor – warm blood, pt. 2 lyrics