![azlyrics.biz](https://azlyrics.biz/assets/logo.png)
raptor el shariff - basi lyrics
Loading...
intro
licha ya k+mthamini
akaona mi simfai
sababu ya yule mwafulani
ndiyo maana anajidai
mara atanitukana mara ataniblock
hivi matusi ya nini?
haya yangu machungu
moyo w+ngu mi mchungu
liko wapi langu fungu?
siwezi jibizana ila namwachia
mungu
yeye ndiye mwenye huk+mu
kwenye mapenzi ya kudumu
chorous
basi ,oh basi!isijekuwa mikosi
outro
hivyo vijikokopa ya nini masimango?
mwili unakondakonda ndiyo kwanza bado
oh basi , basi acha niende zangu mama
ndugu zake nawafahamu akina sadamu
ila walinitoka hamu waliponipanga kwa zamu
oh basi, basi acha niende zangu mama
Random Lyrics
- greeeen - またね。 (mata ne.) lyrics
- dellima - menino da blusa azul lyrics
- volted - archive (66 oz) lyrics
- katie kuffel - passerine lyrics
- levi77 - qualifikation lyrics
- eric chou (周興哲) - room for you lyrics
- false memories - trembling sky [bonus track] lyrics
- tita merello - tarjeta postal lyrics
- neal morse - free at last lyrics
- gazecloud - snow / bloody sleeves lyrics