raptor el shariff – basi lyrics
Loading...
intro
licha ya k+mthamini
akaona mi simfai
sababu ya yule mwafulani
ndiyo maana anajidai
mara atanitukana mara ataniblock
hivi matusi ya nini?
haya yangu machungu
moyo w+ngu mi mchungu
liko wapi langu fungu?
siwezi jibizana ila namwachia
mungu
yeye ndiye mwenye huk+mu
kwenye mapenzi ya kudumu
chorous
basi ,oh basi!isijekuwa mikosi
outro
hivyo vijikokopa ya nini masimango?
mwili unakondakonda ndiyo kwanza bado
oh basi , basi acha niende zangu mama
ndugu zake nawafahamu akina sadamu
ila walinitoka hamu waliponipanga kwa zamu
oh basi, basi acha niende zangu mama
Random Lyrics
- tom jones – i’ve been looking for you all my life lyrics
- fil tilen – kutija (bonus track) lyrics
- camila fernandez – mañana lyrics
- boogie may – lucv lyrics
- chicuta – lunedi lyrics
- thee sinseers – what’s his name lyrics
- radjo – дикими глазами (wild eyes) lyrics
- solemn quad diciplez – shoot me down lyrics
- fourtwnty – kursi goyang lyrics
- leopold and his fiction – she ain’t got time lyrics