rorexxie – jieleze lyrics
(jieleze, jieleze)
(jieleze, jieleze)
(ntajieleza mama aah)
(nitajieleza mama aah)
(jieleze, jieleze)
(jieleze, jieleze)
(ntajieleza mama aah)
(nitajieleza mama aah)
kabla sijazaliwa uliitwa ′beautiful’
wala hukujutia kupoteza ule uziri (kupoteza ule uziri)
mimba ukafurahia ukanileya mpaka naanza school
ukanikataza mabaya, nakunifunza mazuri
mama, baba anatazama
nakuwatunza mama na wana
kitu kidogo lawama
wa kwanza, anataka msosi
wa mwisho, maziwa halisi
wakati anaumwa anahisi, hapendwi homa hazimwishi
niite ′mkushi’, ila sikitu bila mama kushi
sipingi sibishi mama kushi nizaidi ya mjeshi
niite ‘mkushi′ ila sikitu bila mama kushi
sipingi sibishi mama kushi nizaidi ya mjeshi
(jieleze, jieleze)
(jieleze, jieleze)
(ntajieleza mama aah)
(nitajieleza mama aah)
(jieleze, jieleze)
(jieleze, jieleze)
(ntajieleza mama aah)
(nitajieleza mama aah)
hata kama jizi wakula majalalani
mama yako ni wako, jirani na wajirani
wakwako tajiri wa kw+ngu ni masikini
mumezaliwa wawili sisi tuko kama k+mi
kichwani na mzigo, mgongoni na mtoto
kazi kubwa na ndogo, zote yeye
kichwani na mzigo, mgongoni na mtoto
kazi kubwa na ndogo ooh
pole, mama kushi, matatizo huwa hayaishi
pole, mama kushi
usingependa mi′nisingeishi, leo!
(jieleze, jieleze)
(jieleze, jieleze)
(ntajieleza mama aah)
(nitajieleza mama aah)
(jieleze, jieleze)
(jieleze, jieleze)
(ntajieleza mama aah)
(nitajieleza mama aah)
(jieleze, jieleze)
(jieleze, jieleze)
(ntajieleza mama aah)
(nitajieleza mama aah)
(jieleze, jieleze)
(jieleze, jieleze)
(ntajieleza mama aah)
(nitajieleza mama aah)
Random Lyrics
- ben hoppmann – verdammt lyrics
- joyless bodies – red room lyrics
- washington brasileiro – onde eu nasci (vol. 09) lyrics
- sinderr – yuji lyrics
- mike shinoda – already over (live in tokyo) lyrics
- xxxdragonxxx – casio lyrics
- tadwadmct – look at these pants lyrics
- 808faedor – eiskalt lyrics
- poori – jaamo khali konid lyrics
- chase (esp) – mátame si miento lyrics