sanaipei tande – kunitema lyrics
mmh mmh mmmh
ooh ooh
mapenzi kanipofua
kiziwi mi kanifanya
amini kugombana ni kawaida
nyumbani wanakazana, ndivyo inavyotakikana
subutu aibu na laana
nimekaa aah
toneshwa kidonda machozi kulowa usiku kucha ey
nimekaa aah
huzuni moyoni pa kwenda sioni ila hakomi
miye miye miye
sikutaki tena my lover oh nanana
nami sikulilii tena my lover oh nanana
wala sikuwazi tena my lover oh nanana
ila kwako mi nasema
asante sana kunitema
my lover oh nanana mmmh
oh nanana mmmh
oh nanana asante sana kunitema
my lover oh nanana mmmh
oh nanana mmmh
oh nanana asante sane kunitema
akuf+kuzaye haneni ondoka
kukusinya ukachoka
chunga utu kukutoka
nimekaa aah
toneshwa kidonda machozi kulowa usiku kucha ey
nimekaa aah
huzuni moyoni pa kwenda sioni ila hakomi
wacha wacha waseme nina umang’aa
wacha wacha waseme bora furaha
wacha wacha waseme maziwa lala
wacha wacha waseme bora furaha
sikutaki tena my lover oh nanana
wala sikulilii tеna my lover oh nanana
wala sikuwazi tena my lover oh nanana
ila kwako mi nasеma
asante sana kunitema
my lover oh nanana mmmh
oh nanana mmmh
oh nanana asante sane kunitema
my lover oh nanana mmmh
oh nanana mmmh
oh nanana asante sane kunitema
Random Lyrics
- jackintheway – little things lyrics
- 12dal – don’t care lyrics
- lee ji hee (이지희) – 반가웠어요 (it was nice to meet you) lyrics
- martha heredia – la nota (part. vakeró) lyrics
- ana olic – beijo de novela lyrics
- master zero – ad essere onesto lyrics
- henry adrid – my old girl lyrics
- встреча рыбы (vstrecha ryby) – невеста (bride) lyrics
- kp19 – ascension freestyle lyrics
- eva weel skram – romjulsdrøm lyrics