scott montana – tuone lyrics
intro
nanananananahh
nanananananahh
nananananahh
nananananananahh
verse 1
najiuliza kwanini
moyoni nakosa amani
ama nimeumbiwa
duniani na laana
inanishinda mechi
nimeivua jezi
sina wa kunienzi maaana
naachia jajah blessing
baraka nisi missy
maana nimelia saaana
bridge
ninakosa riziki
j+po moyo sipurutiki
maisha ni mikiki
kama pesa kupata sishiki
ninakula kwa dhiki
na akina mwotin na akina riziki
tutaumia paka lini
mungu baba tuone na sisi
chorus
tuoneee tuoneee tuoneeee
mungu baba tuone na sisi
tuoneee tuoneee tuoneeee
mungu baba tuone na sisi
verse 2
nipatacho kichache mi bado na gawaaa
aaaahhh
nikwa muda nime noa ila ni sawa
oh
ohh jembe langu jembe
jembe!
sina mazao hata chembe
chembe!
halipalilii hata mwembe
mwembe!
nimekwama kama pembe
pembe!
jembe langu jembe eeeh!
jembe!
sina mazao hata chembe eeeh!
chembe!
halipalilii hata mwembe
mwembe!
nimekwama kama pembe
pembe!
bridge
ninakosa riziki
j+po moyo sipurutiki
maisha ni mikiki
kama pesa kupata sishiki
ninakula kwa dhiki
na akina mwotin na akina riziki
tutaumia paka lini
mungu baba tuone na sisi
chorus
tuoneee tuoneee tuoneeee
mungu baba tuone na sisi
tuoneee tuoneee tuoneeee
mungu baba tuone na sisi
Random Lyrics
- black prez – keep fighting lyrics
- saud boy – тьма (dark) lyrics
- nataša đorđević – godina za zaljubljene lyrics
- alex jones – landmine lyrics
- jakprogresso – stabbing in toon town lyrics
- werenoi – vroum vroum lyrics
- hori7on – tiger lyrics
- mc g15 – você me deixou lyrics
- black gypsy – joe lyrics
- bright campa – let’s talk about it lyrics