seba tommy – nihurumie lyrics
[intro]
turuu turu turu..
[verse 1]
eeh mama alisema nisije kupenda.. nisije kupenda
ila nilipo kuona nilishindwa kujizuia eeh
i wish labda nisinge kuona.. nisinge kuona
huenda mpaka sasa moyo ungetulia eeh
natamani nifute hata namba na picha huenda nikakusahau
lakini nagundua kwamba siyo tija tayari upo moyoni
hata kama nikisema nisipende nitadanganya
sababu nishapenda na we unajua
labda ningefata maneno aliyoniambiaga maa
yakwamba nisipende mpaka nikikua
[chorus]
ati kweli ati hunipendi au unadanganya?
ati kweli ati mbona naona kama unachanganya?
ati kweli ati hunipendi au unadanganya?
wewe ati kweli ati mbona naona kama unachanganya?
[bridge]
lalaa lalaala
ooh baby baby
lalaa lalaala
ooh nihurumie
lalaa lalaala
ooh baby baby
lalaa lalaala
basi nihurumie
Random Lyrics
- big vercetti – dean ambrose lyrics
- tri yann – de nivôse en frimaire lyrics
- rita – ריטה – mis’chak machur – משחק מכור lyrics
- lekende lett – bli hos meg lyrics
- randy newman – toy story you’ve got a friend in me lyrics
- louis prima – (nothing’s too good) for my baby lyrics
- bonelang – michelada lyrics
- juliette reilly – astronaut lyrics
- epic beard men – five hearts lyrics
- найтивыход (naitivihod) – знаешь, мэри (know, mary) lyrics