![azlyrics.biz](https://azlyrics.biz/assets/logo.png)
sir yongo - hurulaini lyrics
eh eh!
eh eh, eh!
baby wacha n′nene (wacha n’nene), nakupenda sana
baby wacha n′seme (wacha n’seme), nakupenda sana
naeza fanya kitu chochote, kwa ajili yako
naeza fanya
ashizo baby
malavidavi nikupee, baby
penzi la dhati
nimekuchagua, naamini unanipenda
penzi nikaamua, sitoweza kukutenda
huba ni maua, harufu tamu imetanda
vile wanitambua, nitazidi kukuganda
nakuona wewe, kama hurulaini
nimekuhifadhi, mw+ngu mtimani
nakuona wewe (eh eh!), mwenye thamani (eh eh, eh!)
baby wacha n’nene (wacha n′nene), nakupenda sana
baby wacha n′seme (wacha n’seme), nakupenda sana
naeza fanya kitu chochote, kwa ajili yako
naeza fanya
ashizo baby
malavidavi nikupee, baby
penzi la dhati
mtoto mwenye figa, ninajua ulivyoumbika
sura wanaiga, kimwana umehulukika
madaha kama twiga, nikikuona nabambika
vile wanipendaga, kwako baby nimeshika
nakuona wewe, kama hurulaini
nimekuhifadhi (nimekuhifadhi), mw+ngu mtimani (mw+ngu mtimani)
nakuona wewe (nakuona wewe), mwenye thamani (baby una thamani)
katu sitoweza (sitoweza, baby), kukutupa chini (aaah!)
ashizo baby
Random Lyrics
- bizwtf - bukkake lyrics
- myrath - child of prophecy lyrics
- hasse carlsson - in vinos veritas lyrics
- citizen 420 meets yumi - heartfelt msg lyrics
- şövkət ələkbərova - sevgi yar olsun lyrics
- jakub kutlák - this love will be the end of me lyrics
- david dreshaj - what child is this lyrics
- pomaa - doing it right lyrics
- la joaqui, salastkbron & omar varela - gangsta g lyrics
- gabriel kelly, jordis & delaurin - fick dich lyrics