sir yongo – hurulaini lyrics
eh eh!
eh eh, eh!
baby wacha n′nene (wacha n’nene), nakupenda sana
baby wacha n′seme (wacha n’seme), nakupenda sana
naeza fanya kitu chochote, kwa ajili yako
naeza fanya
ashizo baby
malavidavi nikupee, baby
penzi la dhati
nimekuchagua, naamini unanipenda
penzi nikaamua, sitoweza kukutenda
huba ni maua, harufu tamu imetanda
vile wanitambua, nitazidi kukuganda
nakuona wewe, kama hurulaini
nimekuhifadhi, mw+ngu mtimani
nakuona wewe (eh eh!), mwenye thamani (eh eh, eh!)
baby wacha n’nene (wacha n′nene), nakupenda sana
baby wacha n′seme (wacha n’seme), nakupenda sana
naeza fanya kitu chochote, kwa ajili yako
naeza fanya
ashizo baby
malavidavi nikupee, baby
penzi la dhati
mtoto mwenye figa, ninajua ulivyoumbika
sura wanaiga, kimwana umehulukika
madaha kama twiga, nikikuona nabambika
vile wanipendaga, kwako baby nimeshika
nakuona wewe, kama hurulaini
nimekuhifadhi (nimekuhifadhi), mw+ngu mtimani (mw+ngu mtimani)
nakuona wewe (nakuona wewe), mwenye thamani (baby una thamani)
katu sitoweza (sitoweza, baby), kukutupa chini (aaah!)
ashizo baby
Random Lyrics
- pomaa – doing it right lyrics
- la joaqui, salastkbron & omar varela – gangsta g lyrics
- gabriel kelly, jordis & delaurin – fick dich lyrics
- jessica (제시카) – best summer lyrics
- durggo music – nothing left (remastered) lyrics
- rachel bochner – men like you lyrics
- boothby graffoe – dr jekyll and mr hyde lyrics
- erdmöbel – felicità lyrics
- zona sur – no te miento lyrics
- pintscored – hot 2 lyrics