sir yongo – mtanziko (utata wa maisha) lyrics
[intro]
yeah, yeah, yeah
woah, woah, woah
oo ooo ooo
it’s sir yongo!
[verse 1]
utamu wa kuogelea, ni kuwa ndani ya maji
utamu wa kuongea, upate msikilizaji
utamu wa mw+ngaza, mpaka ujue na giza
nuru inapotandaza, hutoweza kubeza
[pre+chorus]
ni kama mtanziko, haya mambo
huku na huko, mbiu ya mgambo
ni kama sielewi, kutoka kitambo
uu uuuu
[chorus]
utata wa maisha, tunapambana
ili na sisi, tuweze kufana
utata wa maisha, tunapambana
ili na sisi, tuweze kufana
[verse 2]
mbogi inasema, “yongo ’sikate tamaa”
nami nasema, “vipi na hizi balaa”
nikilalama wanasema, “si sawa”
“zidi ‘kazana, hiyo tu ndiyo dawa”
[pre+chorus]
ni kama mtanziko, haya mambo
huku na huko, mbiu ya mgambo
ni kama sielewi, kutoka kitambo
uu uuuu
[chorus]
utata wa maisha, tunapambana
ili na sisi, tuweze kufana
utata wa maisha, tunapambana
ili na sisi, tuweze kufana
utata wa maisha, tunapambana
ili na sisi, tuweze kufana
utata wa maisha, tunapambana
ili na sisi, tuweze kufana
[outro]
ni kama mtanziko
Random Lyrics
- napoleon da legend – virgo lyrics
- זהבה בן – tfilat ha’olam – תפילת העולם – zehava ben lyrics
- the icarus plan – crash – reimagined lyrics
- זהבה בן – lo amut biladecha – לא אמות בלעדיך – zehava ben lyrics
- 4nde – no puedo ayudar lyrics
- mm44 turbo shitpost machine – липтон 3 (lipton 3) lyrics
- mr. jay (rb) – alexander the great vs link lyrics
- tarja – all i want for christmas is you lyrics
- hunxho – gang way lyrics
- lys – nuits. lyrics