the parapandaz – yerusalemu lyrics
Loading...
yerusalemu x3 mji wa amani
yerusalemux3 mji wa upendo
watafika huko waliokombolewa, na damu takatifu, damu ya mwana kondoo oooohh
watafika huko walio safi moyo, walioshinda vita ,vita vya mwana kondoo.x2
ninautazama mji wametameta, kwa mawe ya dhamani natamani kufika, oooh
nikishinda vita nitaingia kwa lango,mlango huu wa yuda , mlango waningojea x2
unashuka hima mji wakaribia mji yerusalemu, nauona kwa mbali mji yerusalemu
ninautazama mji wa baba yangu, makao ya amani zayuni mi nitafika x2
Random Lyrics
- dua lipa – ball & chain lyrics
- adaam – garaget ft.d50 lyrics
- jak bailey – welcome 2020 lyrics
- domo wilson – broke bitch lyrics
- mickey shiloh – trust lyrics
- phantom tex – break free (prod. sryy) lyrics
- meqa (ru) – no feelings lyrics
- ta ksilina spathia – ο βασιλιάς της σκόνης(o basilias ths skonhs) lyrics
- tobogán andaluz – martes lyrics
- frank t – the trompetas revueltas (alta tensión) lyrics