tofa jaxx - umenikaa lyrics
moyo w+ngu hausubiri,
nakuwaza yapita masaa
nijifiche iwe siri,
iwapo utanikataa!
wherever i go,
sura yako haipotei
nikikuita hautokei
oh why.
najaribu kukupotezea,
nianze upya nichane kurasa
ila ndo hivyo me nishakuzoea,
kama ulimbo me nimenasa!
when i’m alone
nawasha majani napaa
peke angu angani karaha
umenikaa kama shabaha,
kichwani me na surrender
napambana kukusahau,
bado me najipenda
agoo
agoo
agoo
umenikaa!
tiba ya maumivu ni muda,
nimebakisha nusu saa
niwe kama ulivyo nikuta,
bila penzi lako ili niwe amani
wherever i go,
sura yako haipotei
nikikuita hautokei
oh why.
when i’m alone,
nawasha majani napaa
peke angu angani karaha
umenikaa kama shabaha,
kichwani me na surrender
napambana kukusahau,
bado me najipenda
agoo
agoo
agoo
umenikaa!
umenikaa,
najaribu najitahidi kukusahau
umenikaa
Random Lyrics
- islanders - crazy crazy world lyrics
- blood vas & jack-c - 11:03 lyrics
- marino infantry - mega man x lyrics
- kante - the black rider lyrics
- martin barba - vivir, bailar, soñar lyrics
- 4s4ki - m e l t lyrics
- hillsong instrumentals - king of kings lyrics
- troubleshoot - fireworks lyrics
- felipe araújo - sorte no amor lyrics
- kandiboi - in da zone lyrics