azlyrics.biz
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

tofa jaxx – umenikaa lyrics

Loading...

moyo w+ngu hausubiri,
nakuwaza yapita masaa
nijifiche iwe siri,

iwapo utanikataa!

wherever i go,
sura yako haipotei
nikikuita hautokei
oh why.

najaribu kukupotezea,
nianze upya nichane kurasa
ila ndo hivyo me nishakuzoea,
kama ulimbo me nimenasa!

when i’m alone
nawasha majani napaa
peke angu angani karaha

umenikaa kama shabaha,
kichwani me na surrender
napambana kukusahau,
bado me najipenda

agoo
agoo
agoo

umenikaa!

tiba ya maumivu ni muda,
nimebakisha nusu saa
niwe kama ulivyo nikuta,
bila penzi lako ili niwe amani

wherever i go,
sura yako haipotei
nikikuita hautokei
oh why.

when i’m alone,
nawasha majani napaa
peke angu angani karaha

umenikaa kama shabaha,
kichwani me na surrender
napambana kukusahau,
bado me najipenda

agoo
agoo
agoo

umenikaa!

umenikaa,
najaribu najitahidi kukusahau
umenikaa



Random Lyrics

HOT LYRICS

Loading...