tunapendezana – yammi lyrics
acha nikubembeleze kwa ushahiri na utenzi
ahsante mwalimu, mwalimu wa mapenzi
sogea niku non’goneze neno zuri la mapenzi
kukuacha ni sumu labda apange mwenyezi
nyoyo zetu zime shikamana baba umeziba ufa
kasoro zetu twavumiliana tw+tenganishwa na kufa
si kati yetu dosari hakuna baby umeni chepa chepa
mimi oo oo
baby ooo ooo
tume pendezaa tuna pendezana
aaaaah!! tume pendezana
tuna pendezaa tume pendezanaa
aaaah!! tume pendezana
hata kama wakisema una machafu mengi
siyaoni nimekwama shimo la mapenzi
mi kwako nisha tulizana ku n’goka siwezi
mimi ooo ooo
ooo ooo
nyoyo zetu zime shikamana baba umeziba ufa
kasoro zetu twavumiliana tw+tenganishwa na kufa
si kati yetu dosari hakuna baby umeni chepa chepa
mimi oo oo
baby ooo ooo
tume pendezaa tuna pendezana
aaaaah!! tume pendezana
tuna pendezaa tume pendezanaa
aaaah!! tume pendezana
Random Lyrics
- julian syre – 507 lyrics
- mdawg357 – fick rap lyrics
- kojo dave & marizu – humble lyrics
- manny laurenko – stilo lyrics
- dari – 10 gr. d’incoscienza lyrics
- de cast van roald dahl’s matilda de musical – wonderkind lyrics
- yfu baby – nagasaki lyrics
- sunshine christo – date from hell lyrics
- wandra – angel (feat. esa risty) lyrics
- kwon so jeong (권소정) – 떠오른 불행은 (unhappiness) lyrics