azlyrics.biz
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

ukoo flani mau mau – piga bao (punchlines kibao) lyrics

Loading...

[intro]
tunawapiga bao!
tumejihami na ma-punchline kibao!
kikosi cha mizinga ukoo mau mau!
tunawaharibia kwenye maviwanja zao!
blaow! blaow!

[verse 1: ibra da hustla]
ni ibra da hustla, hustla da ibra
rasta kama steve but niko tight kama bikira
ibra anatema fikira kama elimu ya iqra
da hustla amepinda ‘most wanted’ kama ajira
5′ tall dark n-gg-, cheki taswira
ka ulikuwa huna habari hii game nimei-marry
jemedari kama mullah omar
natema mistari kasi kama risasi, muasi naasi
niko underground kama max mwadui, ras haunijui
naweza kuwa rafiki pia naweza kuwa adui
mi ni full mrui, natoka nilipotoka mbali
mkatae mkubali, mi mc mkali
wanatambua kila mahali
naharibu sijali, naharibia hata serikali, kwani kitu gani?
naishi kwenye ulimwengu wa jenerali
naongozwa na real, sio madridi
hali inayonifanya kuwa gaidi
na bado nafaidi, niko full ka fidi
force kikosi, kwenye rap a boss-i
nisosi wagosi wan-z-ndua kaya
na wote ndani ya hii sanaa
wanaojiuza kama mala-, motherf-!
ibra da hustla!

[hook: vigeti] x2
tunawapiga bao, tumejihami na ma-punchline kibao
kikosi cha mizinga ukoo mau mau
tunawaharibia kwenye maviwanja zao
blaow! blaow!

tunawapiga bao, tumejihami na ma-punchline kibao
kikosi cha mizinga ukoo mau mau
tunawaharibia kwenye maviwanja zao
blaow! blaow!

[verse 2: kimya]
i drop flow like canibus, is this can-i-bus?
just like abbas, lose trust, bust your jaw
it’s y’all loss; who be the boss?
tossing a lyrical floss causing earth to be flossing
a portion approach with caution, pausing
extortion fast like the ocean, i stay proposing
my first notion is game erosion, first verse explosion
fakes are pausing, hoes are exposing
we all lost the chosen one, the prodigal son
where it all begun
how it goes ain’t how it comes
money ain’t funny
streets is hard, cold and dark
that’s why i spark from the heart part
don’t give a f-ck about the chart!
from the start, in the neighbourhood dogs bark;
bite victims in car parks in broad daylight
put up a fight
try to pull out a knife, lose your life; think twice, aight?
your soul is the price
like a game of dice, cold as ice
red, black or white
red eyes with blurred sight;
i still write, whether i’m wrong or right
take flights to reach higher heights
we get high to get by, struggle to make it
so we hustle and take it
barely making ends meet; ain’t it unfortunate?
forcing it to be what we want it to be
your ultimate destiny for infinity, life or death to me
i gotta p-ss, make it fast
hiv in a [?]
car accident, my n-gg-s in a phat cab
i had beef, last thing i heard was the blast of the eagle
not a bird, not a word on the streets
the end of the world, king of…

[verse 3: vigeti]
(lakini siskii kitu… shhh!)
niko na home nyingi kushinda ma-boys wa mike rabar
in fact nishakuwa mkimbizi na john ndio naitw-nga
source inafaa inipatie hivi ma-chords na mic saba
kwa kuleta hali ya taharuki
toka nduki ka mpangaji mwisho wa mwezi landlord akidai mkwanja
hata kabla nibishe mlango kubabaikanga
wakaushe a.k.a sub zero (mmh!)
wame-freeze joto, wanadai fulana
temperature zimepita za huko mombasa na mbali sana
zinedine zidane, starting line up ya real madrid na hiyo inamaanisha huku hutoboi kudai number
plus striker wao ashachoka, ako hoi anadai sub- ha!
ni mambo na ku-mark territory, kwa hivyo ma-doggy za mitaa zingine hazikojoi mitaani hapa
kuifanya iwe ngumu kwa huyu jamaa wa yoh-yoh ku-buy manga
kunimwagia unga ili kuona unga ya jogoo ikimwagikanga
saa zingine hata bluu ya madondo sijaipata
one-chwani ya taros kwa ile noma nishaihata
situation ukuta nyuma ya mgongo, kashaivana;
in the process, i can’t take it no more, nadai kamba
tishia kuji-hang hivi…
ama ku-threaten kujirusha kutoka kwa building kama
kicc, akili zipasuke kwa floor ni-die fasta
juu ma-hater wakisikia hivyo watafurahi sana
wa-smile kushinda yule jamaa anakuw-nga kwa promo ya chai jaba
buda hivi flani anytime kwa socks utawahi ganji
alafu tukishajibonga fresh ndio lo! wataitana
(kwisha)

[hook: vigeti] x2
tunawapiga bao, tumejihami na ma-punchline kibao
kikosi cha mizinga ukoo mau mau
tunawaharibia kwenye maviwanja zao
blaow! blaow!

tunawapiga bao, tumejihami na ma-punchline kibao
kikosi cha mizinga ukoo mau mau
tunawaharibia kwenye maviwanja zao
blaow! blaow!

[outro: vigeti]
haha…
ama?
back up, nini?



Random Lyrics

HOT LYRICS

Loading...