![azlyrics.biz](https://azlyrics.biz/assets/logo.png)
vanessa mdee - hawajui lyrics
[intro]
nahreel wussup wussup wussup wussup
[chorus]
hamjui tu nyie
alichonifunza mama
na na ndiyo maana
hamuishi kutukana x2
[verse 1]
kila kitu majaliwa kupata nimebarikiwaga
nini tilalila usiku mchana unabwabwaja
kwako mi mpira unanicheza unavyotaka
kila siku beki leo kipa nimekudaka
[bridge]
we mwanadamu gani uliyekosa aibu
huenda kuna kosa nieleze kilichokusibu
huishi zogoa zogoa
kila siku zogoa zogoa
ukilala zogoa zogoa
[chorus]
hamjui tu nyie
alichonifunza mama
na na ndiyo maana
hamuishi kutukana x2
[verse 2]
choko choko ndiyo mambo mliozoea
kuweka vigenge na makundi mkiniongelea ah ah
eti naringa, nikishinda mnavimba, hamuishi kuniwinda
mungu ndiyo ananilinda
[bridge]
we mwanadamu gani uliyekosa aibu
kunisema kwa ubaya
na ukiapa kwa mungu
huishi zogoa zogoa
kila siku zogoa zogoa
ukilala zogoa zogoa
[chorus]
hamjui tu nyie
alichonifunza mama
na na ndiyo maana
hamuishi kutukana x2
[bridge]
we mwanadamu gani uliyekosa aibu
huenda kuna kosa nieleze kilichokusibu
huishi zogoa zogoa
kila siku zogoa zogoa
ukilala zogoa zogoa
[chorus]
hamjui tu nyie
alichonifunza mama
na na ndiyo maana
hamuishi kutukana x2
written by: elias barnaba, vanessa mdee, noel mkono
produced by: nahreel
Random Lyrics
- fernando guerra - el tiempo atrás lyrics
- davichi - 괜찮아 사랑이야 (it's alright, this is love) lyrics
- alpa gun - zu spät lyrics
- salaar - clash of the classes 2016 - juniors lyrics
- blumentopf - irgendwie lieb’ ich das 4 lyrics
- yego fields - southern delight lyrics
- eff gee - nord est de paname lyrics
- william (fin) - mun kaa lyrics
- culture - tell me where you get it - 2000 digital remaster lyrics
- kiko gaviño - no te imaginas lyrics