vanessa mdee – hawajui lyrics
[intro]
nahreel wussup wussup wussup wussup
[chorus]
hamjui tu nyie
alichonifunza mama
na na ndiyo maana
hamuishi kutukana x2
[verse 1]
kila kitu majaliwa kupata nimebarikiwaga
nini tilalila usiku mchana unabwabwaja
kwako mi mpira unanicheza unavyotaka
kila siku beki leo kipa nimekudaka
[bridge]
we mwanadamu gani uliyekosa aibu
huenda kuna kosa nieleze kilichokusibu
huishi zogoa zogoa
kila siku zogoa zogoa
ukilala zogoa zogoa
[chorus]
hamjui tu nyie
alichonifunza mama
na na ndiyo maana
hamuishi kutukana x2
[verse 2]
choko choko ndiyo mambo mliozoea
kuweka vigenge na makundi mkiniongelea ah ah
eti naringa, nikishinda mnavimba, hamuishi kuniwinda
mungu ndiyo ananilinda
[bridge]
we mwanadamu gani uliyekosa aibu
kunisema kwa ubaya
na ukiapa kwa mungu
huishi zogoa zogoa
kila siku zogoa zogoa
ukilala zogoa zogoa
[chorus]
hamjui tu nyie
alichonifunza mama
na na ndiyo maana
hamuishi kutukana x2
[bridge]
we mwanadamu gani uliyekosa aibu
huenda kuna kosa nieleze kilichokusibu
huishi zogoa zogoa
kila siku zogoa zogoa
ukilala zogoa zogoa
[chorus]
hamjui tu nyie
alichonifunza mama
na na ndiyo maana
hamuishi kutukana x2
written by: elias barnaba, vanessa mdee, noel mkono
produced by: nahreel
Random Lyrics
- andreas gabalier – jailhouse rock lyrics
- beat buffet – juegue lyrics
- dc.sir – marmoset lyrics
- beach baby – dry clean lyrics
- vega – is was lyrics
- based greggy – first flow lyrics
- free will vibin – viber of the week [do you freemix] lyrics
- distinct galaxy – the leak lyrics
- грyппa сoпли – жизнь мoя так сладка lyrics
- kevin & karla – flores lyrics