wahu - nenda lyrics
unawaponya wagonjwa na wenye vifafa
vipofu na vilema
hata niwe na shida zenye utatata
miujiza unatenda
wacha nikuiite yahweh
mfalme wa wafalme
hakuna kama wewe uhimidiwe bwana
oh moyo yahweh ninataka nifanane nawe
wema wako ninataka nifanane nawe
oh yahweh ninataka nifanane nawe
wengine wanashindwa vumilia kwako
wanaenda kuchawiya kipato
hawajui fahari ni wewe utajiri wako wa milele
mbinguni na duniani oh baba
unawaponya wagonjwa na wenye vifafa
vipofu na vilema
hata niwe na shida zenye utatata
miujiza unatenda
wacha nikuiite yahweh
mfalme wa wafalme
hakuna kama wewе uhimidiwe bwana
oh moyo yahweh ninataka nifanane nawе
wema wako ninataka nifanane nawe
oh yahweh ninataka nifanane nawe
i want to be just like you ninataka nifanane nawe
to be like you ninataka nifanane
oh yahweh ninataka nifanane
Random Lyrics
- jahmal tgk - пара самосвалов (a couple of dump trucks) lyrics
- viva suecia - el bien lyrics
- glenn barber - shadow my baby lyrics
- aktor - gone again lyrics
- sammy blue - tmf lyrics
- yaboiblaze - alexis texas lyrics
- naiboi - black lyrics
- punkgoth - alone lyrics
- isaac wright - i say... (true friend) [lillies version] lyrics
- malliw - ade lyrics