wahu – nenda lyrics
unawaponya wagonjwa na wenye vifafa
vipofu na vilema
hata niwe na shida zenye utatata
miujiza unatenda
wacha nikuiite yahweh
mfalme wa wafalme
hakuna kama wewe uhimidiwe bwana
oh moyo yahweh ninataka nifanane nawe
wema wako ninataka nifanane nawe
oh yahweh ninataka nifanane nawe
wengine wanashindwa vumilia kwako
wanaenda kuchawiya kipato
hawajui fahari ni wewe utajiri wako wa milele
mbinguni na duniani oh baba
unawaponya wagonjwa na wenye vifafa
vipofu na vilema
hata niwe na shida zenye utatata
miujiza unatenda
wacha nikuiite yahweh
mfalme wa wafalme
hakuna kama wewе uhimidiwe bwana
oh moyo yahweh ninataka nifanane nawе
wema wako ninataka nifanane nawe
oh yahweh ninataka nifanane nawe
i want to be just like you ninataka nifanane nawe
to be like you ninataka nifanane
oh yahweh ninataka nifanane
Random Lyrics
- tropica – spine lyrics
- putri kristya – takkan berpisah lyrics
- kanye west – we did it kid (january 2022 demo) lyrics
- nle choppa – who they gone call on lyrics
- skatune network – as it was lyrics
- hank thompson – whipporwill lane lyrics
- viwe – thatha lyrics
- taku (fra) – demain jsuis dead lyrics
- tenn & jeune producer – notes mortes, pt.2 lyrics
- dm stith – parallel lines lyrics