azlyrics.biz
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

wangechi & scar mkadinali – nairobi pengz lyrics

Loading...

[intro: w+ngechi & scar mkadinali]
pengz wamezidi
pengz kama mimi
yeah, yeah
for real
yeah, yeah

[chorus: w+ngechi & scar mkadinali]
nairobi pengz wamezidi, pengz kama mimi (yeah)
pengz wako fiti (yeah), pengz kwenye mini
nairobi pengz wame+zidi
peng sio bibi
peng hana limits
peng pewa mbili
nairobi pengz wamezidi (aiyaiya), pengz kama mimi (aiyaiya)
pengz wako fiti (aiyaiya), pengz kwenye mini (aiyaiya)
nairobi pengz wame+zidi (aiyaiya)
peng sio bibi (aiyaiya)
peng hana limits (aiyaiya)
peng pewa mbili (aiyaiya)
(yo)

[verse 1: scar mkadinali]
peng she has been a fan
peng anapenda peng
peng anapeana peana
peng pedi ana+slang
peng siezi understand
peng haezi rada sheng
peng hupiga kenya cane
peng wa brayo, joe na ken
peng wa ig hapendangi english za twitter
na peng wa twitter ni sura ndio anaficha
peng ametulia mwingine hulalamika
peng hunifulia mwingine hunianika
peng ako fiti wera ye’ huuliza nadai how?
peng namdishi keja saa ingine ni guest house
peng hawaitishi fare hauwaga na ndai zao
peng ni fisi tena ye’ hujam ka’ haimbao

[chorus: w+ngechi & scar mkadinali]
nairobi pengz wamezidi, pengz kama mimi
pengz wako fiti, pengz kwenye mini
nairobi pengz wame+zidi
peng sio bibi
peng hana limits
peng pewa mbili
nairobi pengz wamezidi (aiyaiya), pengz kama mimi (aiyaiya)
pengz wako fiti (aiyaiya), pengz kwenye mini (aiyaiya)
nairobi pengz wame+zidi (aiyaiya)
peng sio bibi (aiyaiya)
peng hana limits (aiyaiya)
peng pewa mbili (aiyaiya)
[verse 2: w+ngechi]
mi ni peng wa ma+peng, peng wa ma+plans
huyu peng akikupenda, huyu peng atakupea
peng ndani ya benz, huyu peng huw+nga barbie
but downtown ana blend, mi ni peng ana uradi
mi huwasha na ma+fans, kwenye score mi huchapa ten
better watch out for your mans, but you know i got my bands
mi ni peng naeza swing, celeb bila ma+bling
mi na represent ma queens wana+run game on my kings
peng wa shash na lip gloss, kwenye hotbox ni ma+fumes
peng ceo hapa ni ma+suti na perfumes
peng niko na ganji cheki purse iko full (yeah)
peng sipendi mchezo (yeah, yeah, yeah), chunga scar atatuma goons

[chorus: w+ngechi & scar mkadinali]
nairobi pengz wamezidi, pengz kama mimi
pengz wako fiti, pengz kwenye mini
nairobi pengz wame+zidi
peng sio bibi
peng hana limits
peng pewa mbili
nairobi pengz wamezidi (aiyaiya), pengz kama mimi (aiyaiya)
pengz wako fiti (aiyaiya), pengz kwenye mini (aiyaiya)
nairobi pengz wame+zidi (aiyaiya)
peng sio bibi (aiyaiya)
peng hana limits (aiyaiya)
peng pewa mbili (aiyaiya)



Random Lyrics

HOT LYRICS

Loading...