xboy kayleey – nielewe lyrics
surprise
xboy kayleey
verse i
kukupenda sina budi
oh beiby
kukupenda imebidi
oh my lady
ndio maana mi nakuita …
uwe w-ngu
mbona beiby unasita…
njoo kw-ngu
nini mbaya na nimedata
upati wanzo langu
kwani lini nitakupata
oh beiby uwe w-ngu
wacha nidhamini oooh beiby
wacha nikuamini…ah aaah
sub-hook
wacha nidhamini
ufuati pesa beiby ooh
wacha nidhamini
autonitesa lady ooh
hook
natamani niwe nawe
oh maishani
hivo naomba unielewe
uwe w-ngu mi
natamani niwe nawe
oh maishani
hivo naomba unielewe
uwe mwandani
uwe mwandani x 2
verse ii
natamani bonge la kike…
penzi unizame
utulie usisumbuke
wayaseme
j-po ulofa mi nganga
oh beiy nielewe
kwa sana niondoe majanga
mimi nikupate wewe
hivo naomba unipende ..ke
usijiondoe
unipende na usiondoke…
nikuoe
sub-hook
wacha nidhamini
ufuati pesa beiby ooh
wacha nidhamini
autonitesa lady ooh
hook
natamani niwe nawe
oh maishani
hivo naomba unielewe
uwe w-ngu mi
natamani niwe nawe
oh maishani
hivo naomba unielewe
uwe mwandani
uwe mwandani x 2
bridge
nielewe ah aaah
nielewe beiby
nielewe ah aaah
nielewe
uwe mwandani x 2
yo t.w.m { tajiri wa mistari }
mtoto wa liz
ady brazza
wataipenda tu
oh oooh
Random Lyrics
- jackie wilson – let this be a letter (to my baby) lyrics
- bishops green – caged lyrics
- paul mccartney – all my loving (live / 2002) lyrics
- txngi – flaming dog lyrics
- nikoline – sabotage lyrics
- dadisstrackdaddy – bushboy (1) lyrics
- luiz gonzaga – ladrão de bode lyrics
- pasto flocco – water lyrics
- toopoor – running man lyrics
- milonair – lyzko lyzko lyrics