azlyrics.biz
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

xhatoh – unyama pt 02 lyrics

Loading...

unyama pt 02 lyrics
unyama pt 02 ft. maxbeatz

verse
ukitaka chochote nifwate boi
mi ni kama mwenyekiti sehemu hii
panua mdomo b+tch ulambo bo
unyama mwingi nataka nirudi mbugani
meno ya tembo ni magendo
kaa kimya niga mi uwa sipendi mautani
juu cheni chini sendo
siongei sana kawauliza mtaani
ivi nilisema nakupeeenda nilikudanganya uliza ma x b+tch ntakupiga kalenda
mji mdogo huu ukishanidiss mi life lako lipo on danger
pisi niliishika ikalegea kwenye simu nikaisevu mlenda
side chick anapiga b+tch ntakupiga now nko na agenda …
b+tch acha kushoboka niko na wa wanangu
tumepoa kama kawa..
wanangu wataniokota tunalala bar tushalewa tushapagawa ….

credits
beat by maxbeatz
written by xhatoh
produced / mixing / mastering by xhatoh
under diablo ™ ent..



Random Lyrics

HOT LYRICS

Loading...