yammi – namchukia lyrics
uzuri si hadidhiwi nayaona
haya aapa nayaona
mabaya yako kwa macho yangu nayona
sio kwamba napenda kuwa kin’gan’ganizi tatizo mazoea
nime kuzoea sidhani kama ntapona
napiga simu namba inatumika kila dakika
k+mbe ameni block ame ni blacklist amenichoka
roho inajenga sumu hata nkifika mbingu nime choka
mungu aliumba mapenzi lakini yana watu wake
wallahy namchukia k+mfahamu najutia
wallahy namchukia k+mfahamu najutia
unayo fanya siunaona uko sawa basi kazana
si unapenda hivi navyo lia na ku n’gan’gana
haujuwi ustaarabu unacho juwa ni kufoka na kutukana
nahivi nilivyo bubu mama kanifunza nidhamu ni kukaa kimya
sio kwamba napenda kuwa kin’gan’ganizi tatizo mazoea
nime kuzoea sidhani kama ntapona
napiga simu namba inatumika kila dakika
k+mbe ameni block ame ni blacklist amenichoka
roho inajenga sumu hata nkifika mbingu nime choka
mungu aliumba mapenzi lakini yana watu wake
wallahy namchukia k+mfahamu najutia
wallahy namchukia k+mfahamu najutia
Random Lyrics
- white fence – be right too lyrics
- superp0s – youth is meaningless lyrics
- capdude – hard times lyrics
- şövkət ələkbərova – söylərəm lyrics
- kako (grc) – που στη λέμε (pou sti leme) lyrics
- yaprada & big 9 – молодой & глупый (young & stupid) lyrics
- itswill – ball everyday lyrics
- pessimo 17 x sick budd – sangue amaro lyrics
- trippie redd – van helsing lyrics
- parham – poppade en till lyrics