young kacha – bora baba angekuwa mbunge lyrics
intro:ts all about hustle….hustle all day……
verc:1
miksa kuku miksa bata zinawafanya wawe stebo/
kila siku mi tembele j-po muhimu vegetable/
mpaka wana kinai utamu kama samaki kupiga mbizi/
mie vinono na vitamu naishia kuviota kwenye njozi/
yule baba ake mbunge, w-ngu mwananchi wa kawaida/
baba angekuwa mbunge nisingezijua shida/
wanajenga barabara ilimradi kwa faida yao/
ili wakija kwenye kampein wasiumize magari yao/
wakiondoka ndo wameondoka wanatuachia vumbi tu/
hafueni kwa wakishua sio kayumba wa miguu/
kiatu cha shule miaka mitatu, uku wa mbunge ye anachange/
skonga hupelekwa na gari, mi mpaka soli husema please/
elimu yangu yakikayumba nasoma kwa mw-nga wa jirani/
uku wa mbunge ye ana happy na tayari yupo mamtoni/
bora baba angekuwa mbunge dodoma bungeni/
labda izi shida ningeishia kuziota ndotoni……
chorus:
life is hard matatizo yamepangana/
hakuna kazi kwa ofisi wanabebana/
life chungu sio sweet kama banana/
stress nyingi kwa kichwa zinagandana…..
Random Lyrics
- nessbeal – le loup dans la bergerie lyrics
- store p – herregud, her e eg lyrics
- rim’k – urbaine poésie lyrics
- la oreja de van gogh – 20 de enero – directo lyrics
- fobia – hoy tengo miedo ( en vivo) lyrics
- dna tru lyricist – i’ont like u anyway lyrics
- gigs510 – stay in your lane lyrics
- stich – dwa światy lyrics
- los inquietos del norte – familia vergara (en vivo) lyrics
- friman (ita) – backsit lyrics