zuchu - shangilia lyrics
ayolizer
kibe, kibe (kibee)
kibe ni mshindi mwingine (kibee)
kibe kutoka ccm chama
sio chama kingine (kibee)
kibee kibee (hee! kibee)
ameshinda mwingine
kutoka chama kubwa chama
sio chama kingine
oooh! wazanzibar (shangilia shangilia)
hussein mwinyi (rais kashachangulia)
kwa hii hali yetu
aendeleze ilani ya chama
zanzibar yetu
ye kaja kuinyanyua
hussein mwinyi
mikono salama
ye ataendeleza mazuri yake sheni
utawala bora
utawala bora uchumi na amani
kwa bashasha
natamka hussein mwinyi rais w+ngu
sijalazimishwa, sijashurutishwa
nimemchagua kwa kura yangu
oooh! wazanzibar
(shangilia shangilia)
hussein mwinyi
(rais kashachangulia)
mchapa kazi mzalendo
mlinzi wa muungano wetu
wanamapinduzi yetu
hongera rais wetu
rais nani? rais nani?
ni hussein mwinyi
hatoki ikulu
mpaka miaka k+mi
eeeh! zanzinbar daima mbele
kwa bashasha (kwa furaha)
natamka (natamka mimi)
hussein mwinyi rais w+ngu
eeh! hongera rais w+ngu
sijalazimishwa, sijashurutishwa
nimemchagua kwa kura yangu
oooh! wazanzibar
(shangilia shangilia)
hussein mwinyi
(rais kashachangulia)
Random Lyrics
- vengemuzik - ariko lyrics
- fletcher - silent night lyrics
- kate gill - not ken but barbie lyrics
- rob pagano - you are the one lyrics
- uliya - castles 2.0 lyrics
- got7 - 1 + 1 lyrics
- ybn almighty jay - shoutout to my dentist lyrics
- the slow readers club - every word lyrics
- onur özdemir - haydut lyrics
- michael mckenzie - santa cruz lyrics