zuchu – shangilia lyrics
ayolizer
kibe, kibe (kibee)
kibe ni mshindi mwingine (kibee)
kibe kutoka ccm chama
sio chama kingine (kibee)
kibee kibee (hee! kibee)
ameshinda mwingine
kutoka chama kubwa chama
sio chama kingine
oooh! wazanzibar (shangilia shangilia)
hussein mwinyi (rais kashachangulia)
kwa hii hali yetu
aendeleze ilani ya chama
zanzibar yetu
ye kaja kuinyanyua
hussein mwinyi
mikono salama
ye ataendeleza mazuri yake sheni
utawala bora
utawala bora uchumi na amani
kwa bashasha
natamka hussein mwinyi rais w+ngu
sijalazimishwa, sijashurutishwa
nimemchagua kwa kura yangu
oooh! wazanzibar
(shangilia shangilia)
hussein mwinyi
(rais kashachangulia)
mchapa kazi mzalendo
mlinzi wa muungano wetu
wanamapinduzi yetu
hongera rais wetu
rais nani? rais nani?
ni hussein mwinyi
hatoki ikulu
mpaka miaka k+mi
eeeh! zanzinbar daima mbele
kwa bashasha (kwa furaha)
natamka (natamka mimi)
hussein mwinyi rais w+ngu
eeh! hongera rais w+ngu
sijalazimishwa, sijashurutishwa
nimemchagua kwa kura yangu
oooh! wazanzibar
(shangilia shangilia)
hussein mwinyi
(rais kashachangulia)
Random Lyrics
- chillwagon – buchy lyrics
- antifuchs – anti für immer lyrics
- mc mantra – relief lyrics
- dyret – på bjerget lyrics
- faker a.k.a. baby plugg – 05. don´t stop lyrics
- stiofan – goodbye lyrics
- bad boys blue – never gonna miss u (remix) lyrics
- johnny dynell & new york 88 – jam hot (rhumba rock) lyrics
- danny gokey – christmas night lyrics
- el príncipe – disimulas lyrics