azlyrics.biz
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

diamond platnumz – binadamu lyrics

Loading...

[intro]
ayo
ha ha
yo, i’m back, bob junior, i’m back
acha vita ianze
wamechelewa

[chorus]
ni we pekee unaejua w+ngapi binadamu wabaya
(wabaya…)
ndugu, rafiki, nani ana roho safi, nani ana roho mbaya
(mbaya…)
ni we pekee unaejua w+ngapi binadamu wabaya
mola
naomba nilinde niwe na upendo wa dhati wote niishi nao sawa
[verse 1]
nilipouanza mziki
mbali na dhiki
nimekutana na matatizo sana
sikuwa rafiki
sithaminiki
bado kidogo mie tu nikate tamaa
w+ngu moyo
ulivumilia dharau na masimango mi
mi w+ngu moyo
ulivumilia utumwa na manyanyaso di
yaani nahangaika usiku kucha naambulia patupu
nilikuwa naumia
moyoni najipa moyo kesho nitakuwa maarufu
mwisho wa siku nafulia
ile nahangaika usiku kucha naambulia patupu
nilikuwa naumia
najipa moyo kesho nitakuwa maarufu
mwisho wa siku nafulia…

[chorus]
ni we pekee unaejua w+ngapi binadamu wabaya
(wabaya…)
ndugu, rafiki, nani ana roho safi, nani ana roho mbaya
(mbaya…)
ni we pekee unaejua w+ngapi binadamu wabaya
mola
naomba nilinde niwe na upendo wa dhati wote niishi nao sawa
[verse 2]
kidogo nakula na mama yangu
siwezi kuwasahau na ndugu zangu
upendo popote alipo kwa baba yangu
j+po alinikataa
ah, bata nakulaga mi na rafiki zangu
tunacheza reggae na masikini mwenzangu
alazwe pepa peponi na bibi yangu
mjukuu wake sanana
sababu ya ugumu wa maisha
na maumivu ya mapenzi nikaandika “kamwambiе”
ndo hapo hustle zikaisha
kabariki mwenyezi watanzinia wanizimiе
asa hivi kwenye tamasha tu likitajwa jina watu wanashangilia
wengine furaha in+z+di kina hadi kabisa w+n+lia
asa hivi kwenye tamasha yaani ikitajwa jina watu wanashangilia
wengine furaha in+z+di kina hadi kabisa w+n+lia…

[chorus]
ni we pekee unaejua w+ngapi binadamu wabaya
(wabaya…)
ndugu, rafiki, nani ana roho safi, nani ana roho mbaya
(mbaya…)
ni we pekee unaejua w+ngapi binadamu wabaya
mola
naomba nilinde niwe na upendo wa dhati wote niishi nao sawa
[outro]
eiih
tena wabaya sana
ooh, wanakatisha tamaa
eiih
ooh, wabaya…
tena wabaya
ooh, ah
sana
wabaya sana
wabaya sana
mmmh, wabaya sana



Random Lyrics

HOT LYRICS

Loading...