ksonrap – amani lyrics
Loading...
usiombe vita kwenye amini;
skiliza mcee napo ghani kiotani;
utaik+mbuka sana amani ukiwa vitani;
ukishaivuruga ushike bible na quran;
huwezi kupandisha maruani mashetani bila amani;
kinachoendea pale kongo na sudani;
majanga kama moto na sunami
mkulima ashike jembe bila amani;
wanajeshi wapakae tu mitaani kulinda tu amani;
hakuna mwanafunzi wakukaa darasani hakuna masihara wala utani tuilinde sana amani;
vizazi visije kutu laani tuendako tuikaikosa pia amani
Random Lyrics
- terrence esquire huggins – tierra tierra lyrics
- braidymimi – swerving lyrics
- von bartu – problem lyrics
- driddy – baddie lyrics
- taco hemingway – gelato lyrics
- madsen – brücken lyrics
- yvng frost – playsafe lyrics
- neverlove – спасти меня (save me) lyrics
- xaxanity – trancedust lyrics
- ytb fatt – poppin it hard (v2) lyrics